Hifadhi za urani iliyorutubishwa za Iran ziko wapi?
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.
Katika makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 (JCPOA), Tehran ilikubali kuweka kiwango cha urutubishaji wa urani katika asilimia 3.67, kiwango kinachohitajika kutengeneza mafuta ya mitambo ya nishati ya nyuklia.
Baada ya Marekani kujiondoa katika JCPOA wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump mwaka 2018, na Iran kupunguza hatua kwa hatua utekelezaji wa majukumu yake ya nyuklia, Tehran kwanza iliongeza urutubishaji hadi asilimia 4.5, kisha hadi asilimia 20, na haikufikia kiwango cha asilimia 60 hadi miaka mitatu baadaye.
Hali hii ilibadilika mnamo Aprili 2021. Baada ya mlipuko na kukatika kwa umeme katika kituo cha Natanz, tukio ambalo Iran ilisema lilisababishwa na hujuma ya Israel, Jamhuri ya Kiislamu ilitangaza kwamba itaanza kurutubisha urani hadi kiwango cha asilimia 60.
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.
Maafisa wa Iran walisema hatua hiyo ilikuwa jibu kwa shinikizo la Marekani na mashambulizi ya Israel, na wakasisitiza kwamba Tehran ina haki ya kuamua kiwango cha urutubishaji kinachohitajika kwa mpango wake wa nyuklia.
Hata hivyo, nchi za Magharibi zilisema kwamba kuhifadhi uraniu iliyofikishwa asilimia 60 kunazidi mahitaji ya kawaida ya matumizi ya kiraia na kunapunguza kwa kiasi kikubwa pengo la kiufundi la Iran kuelekea uwezo wa kutengeneza urani inayoweza kutumika katika silaha.
Katika miaka iliyofuata, mazungumzo ya kuhuisha JCPOA yalipoendelea kukwama na mvutano kati ya Iran na nchi za Magharibi kuongezeka, hifadhi za Iran za urani iliyorutubishwa hadi asilimia 60 ziliongezeka kwa kasi.
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilionesha katika ripoti zake za mara kwa mara kwamba, pamoja na kuongezeka kwa kiasi cha hifadhi hizo, Iran pia ilipunguza muda unaohitajika kufikia viwango vya juu zaidi vya urutubishaji kwa kusakinisha mitambo ya kisasa zaidi ya centrifuge katika vituo vya Fordow na Natanz.
Kwa nini Iran ina hifadhi kubwa za urani iliyorutubishwa, na kuna dalili gani kuhusu hatma yake?
Pata habari za kina kutoka BBC News Swahili, moja kwa moja kupitia WhatsApp.
Katika makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 (JCPOA), Tehran ilikubali kuweka kiwango cha urutubishaji wa urani katika asilimia 3.67, kiwango kinachohitajika kwa ajili ya kutengeneza mafuta ya mitambo ya kuzalisha umeme wa nyuklia.
Baada ya Marekani kujiondoa katika JCPOA wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump mwaka 2018, na Iran kuanza kupunguza hatua kwa hatua utekelezaji wa ahadi zake za nyuklia, Tehran
📌 Kaynak
Bu özet BBC Swahili kaynağından otomatik derlenmiştir. Tamamı için orijinal habere gidin.
Orijinal haberi oku →